Sidebar with Floating Button
AckySHINE Katoliki
☰
AckyShine

MASOMO YA MISA, MACHI 23, 2022: JUMATANO JUMA LA 3 LA KWARESIMA

Featured Image

MASOMO YA MISA, MACHI 23, 2022: JUMATANO JUMA LA 3 LA KWARESI

SOMO 1 - Kumb. 4:1, 5-9

Musa aliwaambia makutano: Ee Israeli, zisikilizeni amri na hukumu niwafundishazo, ili mmzitende; mpate kuishi na kuingia na kuimiliki nchi awapayo Bwana, Mungu wa baba zenu.
Angalieni nimewafundisha amri na hukumu, vile vile kama Bwana, Mungu wangu, alivyoniamuru, ili mzitende katika nchi mwmingiayo ili kuimiliki. Zishikeni basi, mkazitende, maana hii ndiyo hekima yenu na akili zenu, machoni pa mataifa watakaozisikia amri hizi zote, nao watasema, Hakika taifa hili kubwa ni watu wenye hekima na akili. Kwa maana liko taifa gani kubwa, lililo na Mungu aliye karibu nao, kama Bwana, Mungu wetu, alivyo, kila tumwitapo? Tena liko taifa gani kubwa, lililo na amri na hukumu zenye haki kama torati hii yote, ninayoiweka mbele yenu leo.
Lakini, jihadhari nafsi yako, ukailinde roho yako kwa bidii, usije ukayasahau mambo yale uliyoyaona kwa macho yako, yakaondoka moyoni mwako siku zote za maisha yako; bali uwajulishe watoto wako na watoto wa watoto wako.

Neno la Bwana… Tumshukuru Mungu.

WIMBO WA KATIKATI - Zab. 147:12-13, 15-16, 19-20 (K) 12

(K) Msifu Bwana, Ee Yerusalemu.

Msifu Bwana, Ee Yerusalemu;
Msifu Mungu wako, Ee Sayuni.
Maana ameyakaza mapingo ya malango yako,
Amewabariki wanao ndani yako. (K)

Huipeleka amri yake juu ya nchi,
Neno lake lapiga mbio sana.
Ndiye atoaye theluji kama sufu,
Huimwaga barafu yake kama majivu. (K)

Humhubiri Yakobo neno lake,
Na Israeli amri zake na hukumu zake.
Hakulitendea taifa lolote mambo kama hayo,
Wala hukumu zake hawakuzijua. (K)

SHANGILIO

Mbegu neno la Mungu, mpanzi lakini ni Kristu; Yeyote ampataye, ataishi milele.

INJILI - Mt. 5:17-19

Yesu aliwaambia wanafunzi wake: Msidhani kuwa nalikuja kuitangua torati au manabii; la, sikuja kutangua, bali kutimiliza. Kwa maana, amin, nawaambia, Mpaka mbingu na nchi zitakapoondoka, yodi moja wala nukta moja ya torati haitaondoka hata yote yatimie. Basi mtu yeyote atakayevunja amri moja katika hizi zilizo ndogo, na kuwafundisha watu hivyo, ataitwa mdogo kabisa katika ufalme wa mbinguni; bali mtu atakayezitenda na kuzifundisha, huyo ataitwa mkubwa katika ufalme mbinguni.

Neno la Bwana… Sifa kwako Ee Kristo.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Ruth Wanjiku (Guest) on June 23, 2024

Nguvu hutoka kwa Bwana

Robert Okello (Guest) on April 23, 2024

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Victor Kimario (Guest) on April 23, 2024

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Lucy Mushi (Guest) on June 12, 2023

Mungu ni mwema, wakati wote!

Lydia Mzindakaya (Guest) on June 8, 2023

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

John Lissu (Guest) on February 10, 2023

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Philip Nyaga (Guest) on January 30, 2023

Imani inaweza kusogeza milima

Peter Mugendi (Guest) on January 6, 2023

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Stephen Amollo (Guest) on December 20, 2022

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Rose Mwinuka (Guest) on October 27, 2022

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Francis Mtangi (Guest) on June 26, 2022

Endelea kuwa na imani!

Joseph Mallya (Guest) on June 23, 2022

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Joseph Njoroge (Guest) on June 2, 2022

Baraka kwako na familia yako.

Henry Sokoine (Guest) on February 19, 2022

Neema ya Mungu inatosha kwako

Margaret Mahiga (Guest) on December 30, 2021

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Diana Mumbua (Guest) on September 19, 2021

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Mary Njeri (Guest) on September 7, 2021

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Alice Jebet (Guest) on August 25, 2020

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Violet Mumo (Guest) on April 5, 2020

Mwamini Bwana; anajua njia

Janet Sumaye (Guest) on February 2, 2020

Rehema hushinda hukumu

Irene Akoth (Guest) on January 5, 2020

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Ruth Mtangi (Guest) on October 2, 2019

Katika imani, yote yanawezekana

Wilson Ombati (Guest) on September 27, 2019

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Joseph Njoroge (Guest) on August 12, 2019

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Linda Karimi (Guest) on July 25, 2019

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Carol Nyakio (Guest) on July 2, 2019

Dumu katika Bwana.

Frank Macha (Guest) on February 20, 2019

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Irene Akoth (Guest) on December 28, 2018

Mungu akubariki!

Thomas Mwakalindile (Guest) on June 18, 2018

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Janet Wambura (Guest) on March 20, 2018

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Carol Nyakio (Guest) on March 10, 2018

Nakuombea πŸ™

Moses Mwita (Guest) on March 6, 2018

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Margaret Anyango (Guest) on October 2, 2017

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Isaac Kiptoo (Guest) on September 3, 2017

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Rose Mwinuka (Guest) on June 24, 2017

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Raphael Okoth (Guest) on March 17, 2017

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Alex Nakitare (Guest) on January 19, 2017

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Josephine Nekesa (Guest) on August 25, 2016

Neema na amani iwe nawe.

Irene Akoth (Guest) on July 6, 2016

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Betty Kimaro (Guest) on June 27, 2016

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Nancy Kabura (Guest) on May 6, 2016

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Janet Mwikali (Guest) on April 24, 2016

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Andrew Odhiambo (Guest) on April 23, 2016

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

David Musyoka (Guest) on April 12, 2016

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Samson Mahiga (Guest) on February 6, 2016

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Mercy Atieno (Guest) on January 22, 2016

Sifa kwa Bwana!

Peter Mbise (Guest) on December 22, 2015

Tumaini ni nanga ya roho

James Malima (Guest) on December 11, 2015

Mwamini katika mpango wake.

Anthony Kariuki (Guest) on November 3, 2015

Rehema zake hudumu milele

James Mduma (Guest) on April 27, 2015

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Related Posts

MASOMO YA MISA, MACHI 26, 2022: JUMAMOSI, JUMA LA 3 LA KWARESIMA

MASOMO YA MISA, MACHI 26, 2022: JUMAMOSI, JUMA LA 3 LA KWARESIMA

SOMO 1

Hos. 5... Read More

MASOMO YA MISA, JULAI 26, 2021 JUMATATU, JUMA LA 17 LA MWAKA

MASOMO YA MISA, JULAI 26, 2021 JUMATATU, JUMA LA 17 LA MWAKA

SOMO 1

Kut. 32:15-24, 30-34

Musa aligeuka akashuka katika mlima, na zile mbao mbi... Read More

MASOMO YA MISA, MACHI 24, 2022: ALHAMISI, JUMA LA 3 LA KWARESIMA

MASOMO YA MISA, MACHI 24, 2022: ALHAMISI, JUMA LA 3 LA KWARESIMA

SOMO 1

Yer. 7:23-28

Read More

MASOMO YA MISA,Β JUMAPILI, AGOSTI 27, 2023: JUMA LA 21 LA MWAKA

MASOMO YA MISA,Β JUMAPILI, AGOSTI 27, 2023: JUMA LA 21 LA MWAKA

SOMO IRead More

MASOMO YA MISA, DOMINIKA YA 4 YA KWARESIMA, MARCHI 27, 2022

MASOMO YA MISA, DOMINIKA YA 4 YA KWARESIMA, MARCHI 27, 2022

SOMO 1: Yos. 5:9a, 10-12

Bwana akamwambia Yoshua, Siku hii ya leo nimeivingirisha hiyo ai... Read More

MASOMO YA MISA, MARCHI 31, 2022: ALHAMISI, JUMA LA 4 LA KWARESIMA

MASOMO YA MISA, MARCHI 31, 2022: ALHAMISI, JUMA LA 4 LA KWARESIMA

SOMO 1

Hek. 2:1, 12-22

Wasiomsadikia Mungu walisema hivi, huku wakimfikiri yasiyo... Read More

MASOMO YA MISA, MEI 24, 2023: JUMATANO YA 7 YA PASAKA

MASOMO YA MISA, MEI 24, 2023: JUMATANO YA 7 YA PASAKA

SOMO 1

MWANZO:
Mdo. 1:11

SOMO 1

SOMO 1 - Kut. 3:1-8a, 13-15

... Read More
MASOMO YA MISA, MACHI 30, 2022, JUMATANO: JUMA LA 4 LA KWARESIMA

MASOMO YA MISA, MACHI 30, 2022, JUMATANO: JUMA LA 4 LA KWARESIMA

SOMO 1

Β 

Isa. 49:8-15
Bwana asema hivi, Wakati uliokubalika nimekujibu, na si... Read More

πŸ“˜ About πŸ”’ Login πŸ“ Register πŸ“ž Contact