Sidebar with Floating Button
AckySHINE Katoliki
☰
AckyShine

MASOMO YA MISA, MACHI 19, 2022: JUMAMOSI, JUMA LA 3 LA KWARESIMA

Featured Image

SHEREHE YA MT. YOSEFU, MUME WA BIKIRA MARIA





SOMO 1





2Sam. 7: 4 – 5, 12 – 14, 16





Ikawa usiku uo huo, neno la Bwana likamfikia Nathani kusema, Enenda ukamwambie mtumishi wangu Daudi, Bwana asema hivi, siku zako zitakapo timia, ukalala na Baba zako, nitainua mzao wako nyuma yako, atakayetoka viunoni mwako, nami nitaufanya imara ufalme wake.





Yeye ndiye atakayejenga nyumba kwa jina langu, nacho kiti cha enzi cha ufalme wake nitakifanya imara milele. Mimi nitakuwa baba yake, naye atakuwa mwanangu, akitenda maovu nitamwadhibu kwa fimbo yako, na ufalme wako, vitathibitishwa milele mbele yako. Nacho kiti chako kitafanywa imara milele.





WIMBO WA KATIKATI





Zab. 89:1 – 4, 26, 28 (K) 36(K)





Wazao wake watadumu milele.





Fadhili za Bwana nitaziimba milele;Kwa kinywa changu nitavijulisha vizazi vyote uaminifu wako.





Maana nimesema, Fadhili zitajengwa milele;Katika mbingu utauthibitisha uaminifu wako. (K)





Nimefanya agano na mteule wangu,Nimemwapia Daudi, mtumishi wangu.Wazao wako nitawafanya imara milele,Nitakijenga kiti chako cha enzi hata milele. (K)





Yeye ataniita, Wewe baba yangu,Mungu wangu na mwamba wa wokovu wangu.





Hata milele nitamwekea fadhili zangu,Na agano langu litafanyika amini kwake. (K)





SOMO 2





Rum. 4:13, 16 – 18, 22





Ahadi ile ya kwamba atakuwa mrithi wa ulimwengu alipewa Ibrahimu na uzao wake, si kwa sheria bali kwa haki aliyohesabiwa kwa Imani. Kwa hiyo ilitoka katika Imani, iwe njia ya neema, ili kwamba ile ahadi iwe imara kwa wazao wote; si kwa wale wa torati tu, ila kwa wale wa Imani ya Ibrahimu; aliye baba yetu sisi sote; (kama ilivyoandikwa, Nimekuweka kuwa baba wa mataifa mengi); mbele zake yeye aliyemwamini, yaani Mungu, mwenye kuwahuisha wafu, ayatajaye yale yasiyokuwako kana kwamba yamekuwako.Naye aliamini kwa kutarajia yasiyoweza kutarajiwa, ilia pate kuwa baba wa mataifa mengi, kama ilivyonenwa, Ndivyo utakavyokuwa uzao wako. Kwa hiyo ilihesabiwa kwake kuwa ni haki.Neno la Bwana… Tumshukuru Mungu.





SHANGILIO





Zab. 84:5





Heri wakaao nyumbani mwako, Ee Bwana.





INJILI





Mt. 1:16, 18 – 21, 24





Yakobo alimzaa Yusufu mumewe Mariamu aliyemzaa yesu aitwaye Kristo.Kuzaliwa kwake Yesu Kristo kulikuwa hivi. Mariamu mama yake alipokuwa ameposwa na Yusufu, kabla hawajakaribiana, alionekana ana mimba kwa uweza wa Roho Mtakatifu. Naye Yusufu, mumewe, kwa vile alivyokuwa mtu wa haki, asitake kumwaibisha, aliazimu kumwacha malaika wa Bwana alimtokea katika ndoto, akimchukua Mariamu mkeo, maana mimba yake ni kwa uweza wa Roho Mtakatifu. Naye atazaa mwana, nawe utamwita jina lake Yesu, maana, yeye ndiye atakayewaokoa watu wake na dhambi zao.Naye Yusufu alipoamka katika usingizi, alifanya kama malaika wa Bwana alivyomwagiza; akamchukua mkewe.





Neno la Bwana… Sifa kwako Ee Kristo.


AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Richard Mulwa (Guest) on July 18, 2024

Nakuombea πŸ™

James Kawawa (Guest) on June 1, 2024

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

John Mwangi (Guest) on March 26, 2024

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

George Mallya (Guest) on December 1, 2023

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Samson Tibaijuka (Guest) on November 9, 2023

Sifa kwa Bwana!

Irene Akoth (Guest) on May 9, 2023

Endelea kuwa na imani!

Irene Akoth (Guest) on May 4, 2023

Mungu akubariki!

Elizabeth Mrema (Guest) on March 24, 2023

Dumu katika Bwana.

Mary Kendi (Guest) on February 28, 2023

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Lucy Mahiga (Guest) on February 11, 2023

Mwamini katika mpango wake.

Rose Waithera (Guest) on December 26, 2022

Baraka kwako na familia yako.

Janet Mwikali (Guest) on October 28, 2022

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Paul Kamau (Guest) on September 28, 2022

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Nancy Akumu (Guest) on April 9, 2022

Neema na amani iwe nawe.

Andrew Mchome (Guest) on March 19, 2022

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Christopher Oloo (Guest) on March 1, 2022

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Andrew Mchome (Guest) on September 9, 2021

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Grace Wairimu (Guest) on August 30, 2021

Rehema zake hudumu milele

Alice Wanjiru (Guest) on May 10, 2021

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Monica Adhiambo (Guest) on January 5, 2021

Neema ya Mungu inatosha kwako

John Kamande (Guest) on December 29, 2020

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Rose Amukowa (Guest) on December 8, 2020

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Grace Majaliwa (Guest) on December 2, 2020

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Dorothy Majaliwa (Guest) on March 11, 2020

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Sarah Achieng (Guest) on January 17, 2020

Nguvu hutoka kwa Bwana

Isaac Kiptoo (Guest) on November 25, 2019

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Thomas Mtaki (Guest) on October 27, 2019

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Anna Malela (Guest) on August 15, 2019

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Vincent Mwangangi (Guest) on June 28, 2019

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Mary Njeri (Guest) on May 16, 2019

Rehema hushinda hukumu

Joseph Kawawa (Guest) on April 26, 2019

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Christopher Oloo (Guest) on October 28, 2018

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Benjamin Masanja (Guest) on October 24, 2018

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Violet Mumo (Guest) on March 3, 2018

Mwamini Bwana; anajua njia

Susan Wangari (Guest) on February 24, 2018

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Alex Nyamweya (Guest) on February 8, 2018

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Paul Kamau (Guest) on February 6, 2018

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Stephen Mushi (Guest) on June 25, 2017

Katika imani, yote yanawezekana

James Kimani (Guest) on May 10, 2017

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

George Mallya (Guest) on April 26, 2017

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Samuel Were (Guest) on March 15, 2017

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Victor Malima (Guest) on February 18, 2017

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Charles Mchome (Guest) on February 14, 2017

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Ann Wambui (Guest) on February 9, 2017

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Ruth Mtangi (Guest) on January 23, 2017

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Alice Mrema (Guest) on November 20, 2016

Imani inaweza kusogeza milima

Alice Jebet (Guest) on April 27, 2016

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Rose Kiwanga (Guest) on March 7, 2016

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Martin Otieno (Guest) on September 28, 2015

Tumaini ni nanga ya roho

Betty Kimaro (Guest) on September 4, 2015

Mungu ni mwema, wakati wote!

Related Posts

MASOMO YA MISA, MACHI 17, 2022: ALHAMISI, JUMA LA 2 LA KWARESIMA

MASOMO YA MISA, MACHI 17, 2022: ALHAMISI, JUMA LA 2 LA KWARESIMA

SOMO 1

Yer. 17:5-10

Bwana asema hivi: Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu, a... Read More
MASOMO YA MISA, JUNI 18, 2023: JUMAPILI, JUMA LA 11 LA MWAKA

MASOMO YA MISA, JUNI 18, 2023: JUMAPILI, JUMA LA 11 LA MWAKA

SOMO 1 

SOMO 1 - Kut. 3:1-8a, 13-15

... Read More
MASOMO YA MISA, MACHI 30, 2022, JUMATANO: JUMA LA 4 LA KWARESIMA

MASOMO YA MISA, MACHI 30, 2022, JUMATANO: JUMA LA 4 LA KWARESIMA

SOMO 1

Β 

Isa. 49:8-15
Bwana asema hivi, Wakati uliokubalika nimekujibu, na si... Read More

MASOMO YA MISA, JUMAPILI JULAI 25 2021: DOMINIKA YA 17 YA MWAKA B WA KANISA

MASOMO YA MISA, JUMAPILI JULAI 25 2021: DOMINIKA YA 17 YA MWAKA B WA KANISA

SOMO 1

2 Wafalme:4.42

Alikuja mtu kutoka Baal-shalisha, akamletea mtu wa Mungu ch... Read More

MASOMO YA MISA, APRILI 1, 2022: IJUMAA, JUMA LA 4 LA KWARESIMA

MASOMO YA MISA, APRILI 1, 2022: IJUMAA, JUMA LA 4 LA KWARESIMA

Β 

SOMO 1


Hek. 2:1, 12-22

Wasiomsadikia Mungu walisema hivi, huku wak... Read More

MASOMO YA MISA, JULAI 26, 2021 JUMATATU, JUMA LA 17 LA MWAKA

MASOMO YA MISA, JULAI 26, 2021 JUMATATU, JUMA LA 17 LA MWAKA

SOMO 1

Kut. 32:15-24, 30-34

Musa aligeuka akashuka katika mlima, na zile mbao mbi... Read More

MASOMO YA MISA, JUNI 11, 2023: SHEREHE YA MWILI NA DAMU TAKATIFU YA BWANA WETU YESU KRISTU

MASOMO YA MISA, JUNI 11, 2023: SHEREHE YA MWILI NA DAMU TAKATIFU YA BWANA WETU YESU KRISTU

SOMO 1

SOMO 1